Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi
1 by Nurat
Obama ameongeza kuwa mashambulizi ya kigaidi yanawashawishi Wamarekani wawafukuze watu wanaotafuta hifadhi.
Matamshi hayo ya Rais Barack Obama akikiri kwamba Waislamu na Wakristo ni wahanga wa ugaidi yametolewa wakati Marekani na washirika wake wamekuwa wakiyaunga mkono na kuyafadhili kwa misada ya kifedha na kijeshi makundi ya kigaidi kama Daesh ambayo yanafanya jinai za kutisha katika nchi kama Iraq na Syria.
Dorian Gray, 20:45, Feb. 28/2014
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit. Asperiores earum, doloribus at voluptates dolorem magnam, ducimus enim quibusdam accusantium deserunt dignissimos a impedit id ut. Cum aliquam distinctio fugiat sunt.
reply